,

X Quotes

Quotes tagged as "x" Showing 1-18 of 18
Ed Sheeran
“I don't ever want to be perfect,
Cause I'm a singer that you
Never want to see shirtless”
Ed Sheeran
tags: don-t, x

Ed Sheeran
“Paper or razor blade, never give up
And just remember just to hold out more
A couple years ago
I couldn't just control that thought
You'd find me buskin' on the street
When it was cold outdoors
And now I'm sweating on the stage
With the sold out tours
Writing love songs for the sake of it
Never to make a hit”
Ed Sheeran

“Listen to my story, this may be our last chance.”
Tidus Final Fantasy X

“Don't let me lose myself.”
Jack Croxall, X

Tabatha Vargo
“I was just a shell of the person I used to be-hard on the outside and empty on the inside. Those marks were my own personal tombstonr, reminding me every day that I was just as dead as the one I'd murdered.”
Tabatha Vargo, Slammer

Allison van Diepen
“Hope is dangerous.”
Allison van Diepen, Light of Day
tags: jackson, x

Enock Maregesi
“Biblia pamoja na historia vinatwambia kuwa mitume kumi na wawili wa Yesu Kristo waliamua kufa kinyama kama mfalme wao alivyokufa, kwa sababu walikataa kukana imani yao juu ya Yesu Kristo.

Mathayo alikufa kwa ajili ya Ukristo nchini Ethiopia kwa jeraha lililotokana na kisu kikali, Marko akavutwa na farasi katika mitaa ya Alexandria nchini Misri mpaka akafa, kwa sababu alikataa kukana jina la Yesu Kristo.

Luka alinyongwa nchini Ugiriki kwa sababu ya kuhubiri Injili ya Yesu Kristo katika nchi ambapo watu hawakumtambua Yesu.

Yohana alichemshwa katika pipa la mafuta ya moto katika kipindi cha mateso makubwa ya Wakristo nchini Roma, lakini kimiujiza akaponea chupuchupu, kabla ya kufungwa katika gereza la kisiwa cha Patmo (Ugiriki) ambapo ndipo alipoandika kitabu cha Ufunuo. Mtume Yohana baadaye aliachiwa huru na kurudi Uturuki, ambapo alimtumikia Bwana kama Askofu wa Edessa. Alikufa kwa uzee, akiwa mtume pekee aliyekufa kwa amani.

Petro alisulubiwa kichwa chini miguu juu katika msalaba wa umbo la X kulingana na desturi za kikanisa za kipindi hicho, kwa sababu aliwaambia maadui zake ya kuwa alijisikia vibaya kufa kama alivyokufa mfalme wake Yesu Kristo.

Yakobo ndugu yake na Yesu (Yakobo Mkubwa), kiongozi wa kanisa mjini Yerusalemu, alirushwa kutoka juu ya mnara wa kusini-mashariki wa hekalu aliloliongoza la Hekalu Takatifu (zaidi ya futi mia moja kwenda chini) na baadaye kupigwa kwa virungu mpaka akafa, alipokataa kukana imani yake juu ya Yesu Kristo.

Yakobo mwana wa Zebedayo (Yakobo Mdogo) alikuwa mvuvi kabla Yesu Kristo hajamwita kuwa mchungaji wa Injili yake. Kama kiongozi wa kanisa hatimaye, Yakobo aliuwawa kwa kukatwa kichwa mjini Yerusalemu. Afisa wa Kirumi aliyemlinda Yakobo alishangaa sana jinsi Yakobo alivyolinda imani yake siku kesi yake iliposomwa. Baadaye afisa huyo alimsogelea Yakobo katika eneo la mauti. Nafsi yake ilipomsuta, alijitoa hatiani mbele ya hakimu kwa kumkubali Yesu Kristo kama kiongozi wa maisha yake; halafu akapiga magoti pembeni kwa Yakobo, ili na yeye akatwe kichwa kama mfuasi wa Yesu Kristo.

Bartholomayo, ambaye pia alijulikana kama Nathanali, alikuwa mmisionari huko Asia. Alimshuhudia Yesu mfalme wa wafalme katika Uturuki ya leo.
Bartholomayo aliteswa kwa sababu ya mahubiri yake huko Armenia, ambako inasemekana aliuwawa kwa kuchapwa bakora mbele ya halaiki ya watu iliyomdhihaki.

Andrea alisulubiwa katika msalaba wa X huko Patras nchini Ugiriki. Baada ya kuchapwa bakora kinyama na walinzi saba, alifungwa mwili mzima kwenye msalaba ili ateseke zaidi. Wafuasi wake waliokuwepo katika eneo la tukio waliripoti ya kuwa, alipokuwa akipelekwa msalabani, Andrea aliusalimia msalaba huo kwa maneno yafuatayo: "Nimekuwa nikitamani sana na nimekuwa nikiitegemea sana saa hii ya furaha. Msalaba uliwekwa wakfu na Mwenyezi Mungu baada ya mwili wa Yesu Kristo kuning’inizwa juu yake." Aliendelea kuwahubiria maadui zake kwa siku mbili zaidi, akiwa msalabani, mpaka akaishiwa na nguvu na kuaga dunia.

Tomaso alichomwa mkuki nchini India katika mojawapo ya safari zake za kimisionari akiwa na lengo la kuanzisha kanisa la Yesu Kristo katika bara la India.

Mathiya alichaguliwa na mitume kuchukua nafasi ya Yuda Iskarioti, baada ya kifo cha Yuda katika dimbwi la damu nchini India. Taarifa kuhusiana na maisha na kifo cha Mathiya zinachanganya na hazijulikani sawasawa. Lakini ipo imani kwamba Mathiya alipigwa mawe na Wayahudi huko Yerusalemu, kisha akauwawa kwa kukatwa kichwa.

Yuda Tadei, ndugu yake na Yesu, aliuwawa kwa mishale alipokataa kukana imani yake juu ya Yesu Kristo.

Mitume walikuwa na imani kubwa kwa sababu walishuhudia ufufuo wa Yesu Kristo, na miujiza mingine. Biblia ni kiwanda cha imani. Tunapaswa kuiamini Biblia kama mitume walivyomwamini Yesu Kristo, kwa sababu Biblia iliandikwa na mitume.”
Enock Maregesi

“Hmm” is all Margot says, and the skeptical look on her face makes me want to x her right off the screen.”
Jenny Han, To All the Boys I've Loved Before

Quan Barry
“Let X be the moon like a notary.
Let Y be all things left unsaid.”
Quan Barry, Asylum

“At least I’ll have left something to be remembered by. As well as my corpse, of course.”
Jack Croxall, X
tags: journal, x

Colin Wilson
“Faculty X is the ability to grasp the reality not simply of other times and places, but of the present moment as well.”
Colin Wilson, Mysteries

Deyth Banger
“I just looked you in TedX, I just check out... you had a problem in one of the eyes... probably and in the both eyes... also you were woried. I'm sure as conclusion I can say that you weren't sure what to say.”
Deyth Banger

René Guénon
“Dans la numération chinoise, la croix représente le nombre 10 (le chiffre romain X n’est d’ailleurs, lui aussi, que la croix autrement disposée)”
René Guénon, The Symbolism of the Cross
tags: x,

Seán Cullen
“The practice was banned after, inevitably, someone lost an eye. Mothers around the world were smug.”
Seán Cullen, Hamix X and the Hollow Mountain

Nitya Prakash
“I heard you were good in Algebra. Can you replace my X without asking Y?”
Nitya Prakash
tags: algebra, x, y

“Night unchecked risks bleeding into Day.”
Monaristw
tags: philosophy, x, y

Isaac Asimov
“Qué la X esté siempre con nosotros.”
Asimov Isaac
tags: x

Suzanne Giesemann
“Are you familiar with the phrase "to grok"?
It comes from the 1961 novel Stranger in a Strange Land by Robert Heinlein. The main character is a human raised on Mars whose English language is peppered with Martian words. "To grok something" means to wrap your head around a concept.”
Suzanne Giesemann, The Awakened Way: Making the Shift to a Divinely Guided Life