Papa Martin V
Mandhari
![](http://upload.wikimedia.org/wikipedia/commons/thumb/0/05/Papa_Martino_V.jpg/330px-Papa_Martino_V.jpg 1.5x, //upload.wikimedia.org/wikipedia/commons/thumb/0/05/Papa_Martino_V.jpg/440px-Papa_Martino_V.jpg 2x)
Papa Martin V (takriban 1368 – 20 Februari 1431) alikuwa Papa kuanzia tarehe 11/21 Novemba 1417 hadi kifo chake[1]. Alitokea Genazzano, Italia[2].
Jina lake la kuzaliwa lilikuwa Oddone Colonna.
Alimfuata Papa Gregori XII akafuatwa na Papa Eugenio IV.
Tazama pia
[hariri | hariri chanzo]Tanbihi
[hariri | hariri chanzo]Viungo vya nje
[hariri | hariri chanzo]![]() |
Makala hii kuhusu Papa fulani bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Papa Martin V kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake? Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari. |