Nyuzilandi

(Elekezwa kutoka New Zealand)

Nyuzilandi (kwa Kiingereza New Zealand kwa Kimaori: Aotearoa) ni nchi ya visiwani katika Pasifiki takriban km 1,500 upande wa mashariki-kusini wa Australia. Inajumuisha maeneo mawili makuu ya ardhi—Kisiwa cha Kaskazini (Te Ika-a-Māui) na Kisiwa cha Kusini (Te Waipounamu). Ni nchi ya visiwa ya sita kwa ukubwa kwa eneo na iko mashariki ya Australia kupitia Bahari ya Tasmania na kusini mwa visiwa vya New Caledonia, Fiji, na Tonga.

Nyuzilandi
New Zealand (Kiingereza)
Aotearoa (Kimaori)
Wimbo wa taifa: God Defend New Zealand (Mungu Ilinde New Zealand)
Mahali pa Nyuzilandi
Miji mikuuWellington
Mji mkubwaAuckland
Lugha rasmi
Kabila (2023)
  • 67.8% Wazungu
  • 17.8% Wamāori
  • 17.3% Waasia
  • 8.9% Wapasifiki
  • 3.0% Wengine
 • Mfalme
Charles III
 • Gavana Mkuu
Cindy Kiro
 • Waziri Mkuu
Chris Hipkins
Eneo
 • Jumlakm2 268,680 (ya 75)
 • Maji (asilimia)2.1%
Idadi ya watu
 • Kadirio la 20215,132,870
 • Msongamano19.1/km2
PLT (PPP)Kadirio la 2024
 • Jumlaincrease $283.4 bilioni
 • Kwa kila mtuincrease $52,980
PLT (kawaida)Kadirio la 2024
 • Jumlaincrease $252.24 bilioni (ya 42)
 • Kwa kila mtudecrease $47,070
HDI (2019)increase 0.931
juu sana
Gini (2022)30.0 kati
SarafuDola ya Nyuzilandi
Majira ya saaUTC(UTC +12) NZST
Msimbo wa simu+64
Jina la kikoa.nz

Eneo lake linaundwa na visiwa viwili vikubwa: Kisiwa cha Kaskazini (North Island au Te Ika-a-Māui) na Kisiwa cha Kusini (South Island au Te Waipounamu) na vingine 600 vidogo.

Jiografia

hariri

Miji mingine ni:

Demografia

hariri

Kabila/Asilia

hariri

Idadi ya wakazi ni 4,690,000. Wengi wao (74%) bado wana asili ya Ulaya, ingawa asilimia yao inazidi kupungua. Wakazi asilia ni Wamaori waliotokea Polinesia na kuhamia visiwa hivyo kati ya miaka 1250-1300 BK; kwa sasa ni 14.9% ya wakazi wote. Wengine wana asili ya Asia (11.8%) na ya visiwa vya Pasifiki (7.4%).

Lugha rasmi ni Kiingereza, Kimaori na Lugha ya Ishara ya Nyuzilandi (kwa Kiingereza: New Zealand Sign Language au NZSL).

Upande wa dini, 49% ni Wakristo wa madhehebu mbalimbali, kuanzia Kanisa Katoliki (12.6%), Anglikana (11.8%) na Wapresbiteri (8.5%). Idadi ya wasio na dini inazidi kupanda na imeshafikia 38.55%, mbali ya 12.27% wasiojibu swali kuhusu hilo. Kuna Mabanyani (2.1%), Wabuddha (1.5%), Waislamu (1.2%), Singasinga (0.5%)

Tazama pia

hariri

Viungo vya nje

hariri


  Makala hii kuhusu eneo fulani bado ni mbegu.
Je unajua kitu kuhusu eneo hilo kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni?
Je, unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.


Usitaje majina ya madiwani na viongozi au maafisa wengine wa sasa maana wanabadilika haraka mno.